Mrasiberi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mrasiberi
(Rubus subg. Idaeobatus)
Mrasiberi wa mwitu
Mrasiberi wa mwitu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Rosaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
Jenasi: Rubus
L.
Nusujenasi: Idaeobatus
Spishi: Nyingi

Mirasiberi (Rubus subg. Idaeobatus) ni mimea mitambaa ya familia Rosaceae yenye miiba ingawa kuna aina zikuzwazo bila miiba. Matunda yao huitwa rasiberi. Zinatofautiana na matoje kwa nususi kwamba mwisho wa kikonyo unakaa ndani ya toje likikonyolewa ilhali unatoka kwa rasiberi.

Mirasiberi hukuzwa katika maeneo yasiyo na joto sana. Rasiberi hupendwa na watu wengi lakini hazipatikani sana katika Afrika.

Spishi zilizochaguliwa[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mrasiberi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.