Moon Jae-in
Mandhari
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4e/Moon_Jae-in_2017.jpg/200px-Moon_Jae-in_2017.jpg)
Moon Jae-in (kwa Kikorea: 문재인; Hanja: 文在寅; amezaliwa 24 Januari 1953) ni mwanasiasa wa Korea Kusini na wakili wa haki za binadamu anayehudumu kama Rais wa Korea Kusini tangu mwaka 2017.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Moon Jae-in kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |