Moon Jae-in

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Moon Jae-in presidential portrait.jpg

Moon Jae-in (kwa Kikorea: 문재인; Hanja: 文在寅; amezaliwa 24 Januari 1953) ni mwanasiasa wa Korea Kusini na wakili wa haki za binadamu anayehudumu kama Rais wa Korea Kusini tangu mwaka 2017.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Moon Jae-in kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.