Mohamed Gharib Bilal

Mohamed Gharib Bilal (alizaliwa 1945) ni mwanasiasa wa Tanzania aliyewahi kuwa waziri katika serikali ya mapinduzi ya Zanzibar tangu mwaka 1995 hadi mwaka 2005[1]. Tangu mwaka 2010 hadi mwaka 2015 alikuwa makamu wa rais wa Tanzania.
Bilal ni mtaalamu wa masuala ya sayansi ya nyuklia.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Political Leaders:Tanzania. Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-05-25. Iliwekwa mnamo 2021-02-18.
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |