Mlima Stanley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mlima Stanley ni mlima katika Afrika ya Kati kwenye mpaka wa Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Ni mlima wa Safu ya Ruwenzori.

Una kimo cha mita 5109 juu ya UB.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]