Mlima Sanford

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Sanford

Mlima Sanford ni mlima wa volikano katika jimbo la Alaska (Marekani) wenye urefu wa mita 4,949.

Uko katika safu ya Milima Saint Elias.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Sanford kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.