Mlima Saint Elias

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Saint Elias

Mlima Saint Elias ni mlima mrefu wa pili nchini Kanada, ukiwa na kimo cha mita 5,489 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Saint Elias kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.