Mlima Rinjani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Rinjani ulipolipuka mwaka 1994.

Mlima Rinjani ni mlima wa volikano wenye kimo cha m 3,726 juu ya usawa wa bahari.

Uko Indonesia katika kisiwa cha Lombok.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Rinjani kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.