Mlima Ramelau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Ramelau

Mlima Ramelau ni mlima wenye kimo cha m 2,963 juu ya usawa wa bahari.

Ndio mrefu kuliko yote ya Timor-Mashariki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Ramelau kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.