Mlima Paget

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Paget

Mlima Paget ni mlima mrefu kuliko yote ya South Georgia na wa maeneo yote yaliyo chini ya Ufalme wa Muungano.

Uko kusini mwa bahari ya Atlantiki, katika Visiwa vya South Georgia na South Sandwich.

Una urefu wa mita 2,935.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.