Mkono
Mkono ni kiungo cha mwili kinachoanza kwa bega na kuishia kwenye kiganja na vidole. Huwa na sehemu mbili ambayo ni mkono wa juu na kigasha zinazounganishwa kwa kiwiko au kisugudi.
Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkono kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |