Mkoa wa Savanes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mkoa wa Savanes
Mahali paMkoa wa Savanes
Mahali paMkoa wa Savanes
Mahali pa Mkoa wa Savanes katika Cote d'Ivoire
Majiranukta: 9°30′N 5°30′W / 9.500°N 5.500°W / 9.500; -5.500
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Côte d'Ivoire
Wilaya 7
Mji mkuu Korhogo
Eneo
 - Jumla 40.430 km²
Idadi ya wakazi (1998)
 - Wakazi kwa ujumla 929.673
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Savanes (kwa Kifaransa: Région des Savanes) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011.

Iko katika Kaskazini ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 929.673. [1]

Kuna tarafa saba ambazo ni

Makao makuu yako Korhogo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na