Nenda kwa yaliyomo

Mkoa wa Muchinga

Majiranukta: 10°00′S 32°00′E / 10.000°S 32.000°E / -10.000; 32.000
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa wilaya za mkoa wa Muchinga katika Zambia

Mkoa wa Muchinga ni mmojawapo kati ya mikoa 10 ya kujitawala ya Zambia. Una wakazi 922,212 kwenye eneo la km² 87,806. Mji mkuu ni Chinsali.

Mkoa umegawanywa katika wilaya 8: Chinsali, Isoka, Kanchibiya, Lavushimanda, Mafinga, Mpika, Nakonde, Shiwang'andu.

  • Summary report for the 2010 Census of population (PDF) (Ripoti). Lusaka: Central Statistical Office, Republic of Zambia. 2012. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2015-10-26.

10°00′S 32°00′E / 10.000°S 32.000°E / -10.000; 32.000

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Mikoa ya Zambia
Bandera ya Zambia
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki | Muchinga
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Muchinga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.