Mkoa wa Menaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la Menaka
Menaka bado inaonyeshwa kama sehemu ya Mkoa wa Gao.

Menaka (kwa Kibambara Menaka Dineja) ni mkoa wa Mali ulioundwa kisheria mwaka 2012 kutoka sehemu ya mashariki ya Mkoa wa Gao. [1] [2]

Uuanzishwaji halisi wa mkoa huo ulifanyika tarehe 19 Januari 2016 kwa kumteua Daouda Maïga kama gavana wa mkoa.[3] [4] Wajumbe wa baraza la mpito wa mkoa waliteuliwa tarehe 14 Oktoba 2016. [5]

Mkoa umegawanyika katika wilaya (cercles) nne: Anderamboukane, Inekar, Tidermene, na Menaka, eneo la mji mkuu, pia hujulikana Menaka. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "LOI No 2012-017 DU 02 MARS 2012 PORTANT CREATION DE CIRCONSCRIPTIONS ADMINISTRATIVES EN REPUBLIQUE DU MALI". Journal officiel de la République du Mali. 2 March 2012. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-11-23. Iliwekwa mnamo 21 February 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Report of the Secretary-General on the situation in Mali". MINUSMA. 28 March 2016. Iliwekwa mnamo 21 February 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. 3.0 3.1 "Régionalisation: Deux Nouvelles régions créées au Mali". Malijet. 21 January 2016. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-02-22. Iliwekwa mnamo 21 February 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. "Nomination: Ménaka fête déjà son Gouverneur". Maliweb. 30 January 2016. Iliwekwa mnamo 21 February 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  5. "Report of the Secretary-General on the situation in Mali". MINUSMA. 30 December 2016. Iliwekwa mnamo 21 February 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)