Mkoa wa Mardin
Mkoa wa Mardin | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Mardin nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Kusinimashariki ya Anatolia |
Eneo: | 8,891 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 745 778 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 47 |
Kodi ya eneo: | 0482 |
Tovuti ya Gavana | http://www.mardin.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/mardin |
Mkoa wa Mardin (Kisyria: ܡܶܪܕܺܝܢ "Merdin" kwa kuhusina na lugha ya Kisemiti Kiarabu: ماردين , Mardīn au "Merdin" ) ni jina la mkoa uliopo nchini Uturuki, wenye wakazi takriban 745 778.[1] Awali idadi ya wakazi ilikuwa 835,173 kunako mwaka wa 2000[2].
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Mardin umegawanyika katika wilaya 10 (mji mkuu 'umekoozeshwa):
Marejeo
- ↑ Turkish Statistical Institute (2007). "2007 Census, population by provinces and districts". Turkish Statistical Institute. Iliwekwa mnamo 2007-12-26.
- ↑ Population of Mardin province
Viungo vya Nje
- Mardin Weather Forecast Information
- Pictures of the capital of this province
- Articles about the Syriacs and photos of Midyat
- Mardin photos
- Tourism information is available in English at the Southeastern Anatolian Promotion Project site.
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Mardin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |