Mkoa wa Kongo Kati
Mandhari
| Mkoa wa Kongo Kati |
|
| Nchi | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
|---|---|
| Mikoa | |
| Mji mkuu | Matadi |
| Eneo | |
| - Jumla | 53,920 km² |
| Idadi ya wakazi (2020) | |
| - Wakazi kwa ujumla | 6,838,500 |
Mkoa wa Kongo Kati ni mmojawapo kati ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Idadi ya wakazi wake ni takriban 6,838,500.
Mbali ya Matadi, mji mwingine rasmi ni Boma, halafu katika eneo kuna wilaya (kwa Kifaransa: territoires) 10, idadi kubwa kuliko ile ya mikoa mingine yote[1]:
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Institut National de la Statistique–RD Congo (Machi 2017). Annuaire statistique 2015 [2015 Statistical Yearbook] (PDF) (kwa Kifaransa). ku. 8-9 Tableau 1.3. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka (PDF) kutoka chanzo mnamo 13 Oktoba 2022. Iliwekwa mnamo 2 Jan 2023.
{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Équateur | Ituri | Kasai | Kasai Kati | Kasai Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Uele Chini | Uele Juu | |
| +/- | |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kongo Kati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |

