Mkoa wa Kahramanmaraş
Mkoa wa Kahramanmaraş | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Kahramanmaraş nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Mediterranean |
Eneo: | 14,327 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 1,034,727 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 46 |
Kodi ya eneo: | 0{{{kodi_ya_eneo}}} |
Tovuti ya Gavana | http://www.kahramanmaraş.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/kahramanmaraş |
Kahramanmaraş (kwa kifupi Maraş) ni moja kati ya mikoa 81 ya nchini Uturuki. Mji mkuu wake ni jiji la Kahramanmaraş.
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Kahramanmaraş umegawanyika katika wilaya 10:
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kahramanmaraş kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |