Mkoa wa Denizli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 13:26, 11 Machi 2013 na Legobot (majadiliano | michango) (Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q82096 (translate me))
Mkoa wa Denizli
Maeneo ya Mkoa wa Denizli nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Aegean
Eneo: 11,868 (km²)
Idadi ya Wakazi 907,558 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 20
Kodi ya eneo: 0258
Tovuti ya Gavana http://www.denizli.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/denizli


Denizli ni jina la kutaja moja kati ya Mikoa ya Uturuki uliopo mjini magharibi mwa Anatolia, nyanda za juu katika pwani ya Bahari ya Aegean. Mikoa ya karibu kabisa na mjini hapa ni pamoja na Uşak kwa upande wa kaskazini, Burdur, Isparta, Afyon kwa upande wa mashariki, Aydın, Manisa kwa upande wa magharibi na Muğla kwa upande wa kusini. Mji upo kati ya ramani hizi za kijiografia 28° 30’ na 29° 30’ E na 37° 12’ na 38° 12’ N. Unachukua eneo za kilomita za mraba zipatazo 11,868, na idadi ya wakazi wapatao 882,938. Hapo awali idadi ya wakazi wa hapa ilikuwa 750,882 kunako miaka ya 1990. Mji mkuu wake ni Denizli.

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Denizli umeganyika katika wilaya 19 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu: