Bioko Norte

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mkoa wa Bioko Norte)


Bioko Norte
Mahali paBioko Norte
Mahali paBioko Norte
Nchi Equatorial Guinea
Makao makuu Rebola
Eneo
 - Jumla 776 km²
Idadi ya wakazi (2015)
 - Wakazi kwa ujumla 299,836

Bioko Norte ni mkoa wa Guinea ya Ikweta uliopo kwenye sehemu ya kaskazini ya kisiwa cha Bioko. Mji mkuu ni Rebola . Mji mkuu wa kitaifa pia uko Bioko Norte ambao ni Malabo .

Sehemu ya Hifadhi ya Kitaifa ya Pico Basilé iko Bioko Norte.