Mkoa wa Aydın

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa wa Aydın
Maeneo ya Mkoa wa Aydın nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Aegean
Eneo: 8007 (km²)
Idadi ya Wakazi 998,621 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 09
Kodi ya eneo: 0256
Tovuti ya Gavana http://www.aydın.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/aydın

Aydın ni mkoa uliopo mjini kusini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mkoa upo kwenye Kanda ya Aegean . Mji mkuu wa mkoani hapa ni Aydın ambao una makadirio ya wakazi wapatao 150,000 (2000).

Wilaya za mkoani hapa[hariri | hariri chanzo]

Mkoa wa Aydın umegawanyika katika wilaya 17 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]