Kimbugimbugi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mkandi)
Kimbugimbugi
Kishungi cha kimbugibugi
Kishungi cha kimbugibugi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Monocots (Mimea ambayo mche wao una jani moja)
(bila tabaka): Commelinids (Mimea kama jaja)
Oda: Poales (Mimea kama manyasi)
Familia: Poaceae
Nusufamilia: Chloridoideae
Jenasi: Dactyloctenium
Spishi: D. aegyptium
(L.) Willd.

Kimbugimbugi (kutoka “mbugi”: kengele ndogo) au mkandi (Dactyloctenium aegyptium) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Asili ya nyasi hili ni Afrika lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika mabara mengine. Linaweza kuwa gugu shambani lakini ni malisho mazuri kwa wanyama wafugwao. Punje zake zinaweza kutumiwa ili kulisha kuku na huliwa na watu pia wakati wa uhaba wa chakula. Vilevile hutumika kwa kutengeneza pombe ya kienyeji.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]