Milima Tordrillo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
MIlima ya Tordrillo

Milima Tordrillo ni safu ya milima ya Alaska (Marekani).

Urefu wake katika mlima Torbert unafikia hadi mita 3,479 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Milima Tordrillo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.