Lemuri-panya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Microcebus)
Lemuri-panya
Lemuri-panya kijivu
Lemuri-panya kijivu
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Strepsirrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na lemuri)
Oda ya chini: Lemuriformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Lemuroidea (Lemuri)
Familia: Cheirogaleidae (Lemuri walio na mnasaba na lemuri kibete)
Jenasi: Microcebus
E. Geoffroy, 1828
Ngazi za chini

Spishi 21:

Lemuri-panya (kutoka Kiingereza: mouse lemur) ni spishi za lemuri wa jenasi Microcebus katika familia Cheirogaleidae. Kama lemuri wote wanatokea Madagaska tu. Urefu wa jumla wa kichwa, mwili na mkia ya lemuri-panya ni chini ya sm 27, kwa hivyo wao ni wadogo kuliko primates wote. Hukiakia usiku na hula arthropodi, vertebrati wadogo, vinyaa vya wadudu, ambo la miti, matunda, maua na mbochi, na majani na matumba pia kufuatana na majira.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.