Michelangelo Celesia
Mandhari
Michelangelo Celesia, O.S.B. Cas. (13 Januari 1814 – 14 Aprili 1904) alikuwa mmonaki wa Kibenedikto wa Italia aliyekuwa Askofu Mkuu wa Palermo kutoka mwaka 1871 hadi kifo chake. Aliteuliwa kuwa kardinali mwaka 1884.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |