Michael Olunga
Mandhari
Michael Olunga (alizaliwa 26 Machi 1994) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Kenya. Anachezea timu ya taifa ya Kenya.
Olunga ameichezea timu ya taifa ya Kenya tangu mwaka wa 2015. Olunga alicheza Kenya katika mechi 40, akifunga mabao 18.[1][2]
Takwimu
[hariri | hariri chanzo]| Timu ya Taifa ya Kenya | ||
|---|---|---|
| Mwaka | Mechi | Magoli |
| 2015 | 13 | 6 |
| 2016 | 8 | 1 |
| 2017 | 5 | 5 |
| 2018 | 5 | 2 |
| 2019 | 9 | 4 |
| Jumla | 40 | 18 |
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Patrick Korir (2 Novemba 2012). "Schools' MVP heading to France". Futaa.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 Machi 2016. Iliwekwa mnamo 1 Novemba 2015.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Wilson Mathu (29 Novemba 2012). "Promoted Liberty embrace the challenge". Futaa.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 Machi 2016. Iliwekwa mnamo 1 Novemba 2015.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Michael Olunga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |