Michael Kulas
Mandhari
Michael Wade Kulas (aliyezaliwa 27 Januari, 1969) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki kutoka Kanada ambaye alikuwa mwanachama wa bendi ya rock ya Kiingereza ya James kati ya mwaka 1997 na 2001.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ [http:// Official website]
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Michael Kulas kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |