MV Bukoba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Meli ya Mv. Bukoba)
Faili:MV Bukoba Memorial.jpg
Makumbusho kwa wahanga wa ajali ya MV Bukoba mjini Mwanza

MV Bukoba ilikuwa feri iliyokuwa ikitoa huduma ya kubeba mizigo na abiria katika Ziwa Viktoria kati ya bandari za Bukoba na Mwanza[1].

Tarehe 21 Mei 1996 ilizama kwenye njia ya kuelekea Mwanza.[2] Abiria wengi walikufa na idadi yao imekadiriwa kuwa 1,000 hivi, lakini idadi iliyotangazwa rasmi ilikuwa 894[3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.jamiiforums.com/threads/tujikumbushe-mv-bukoba-enzi-za-uhai-wake.1364063
  2. Lake Victoria tragedy ,Tanzania in May 21, kwenye tovuti ya asahi.net, iliangaliwa tar. 2 Desemba 2018
  3. The 13 Deadliest Shipwrecks Ever, tovuti ya gizmodo.com, iliangaliwa tar. 2 Desemba 2018