Melchior von Meckau
Mandhari


Melchior von Meckau (1440–1509) (aliyejulikana kama Kardinali wa Brixen) alikuwa kardinali na askofu wa Kanisa Katoliki la Roma kutoka Ujerumani.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Salvador Miranda. "The Cardinals of the Holy Roman Church - Biographical Dictionary - Consistory of May 31, 1503". www2.fiu.edu. Iliwekwa mnamo 2025-01-06.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |