Mehmet Emin Toprak
Mandhari
Mehmet Emin Toprak (11 Septemba 1974 – 2 Desemba 2002) alikuwa mwigizaji wa filamu wa Uturuki.
Toprak aliigiza katika filamu maarufu ya Uzak ya mwaka wa 2002. [1] Alifariki katika ajali ya gari alipokuwa akirudi kutoka Tamasha la Filamu la Ankara karibu na mji wa Çan, akiwa na umri wa miaka 28. [2]
Wiki chache baada ya ajali hiyo, filamu ya Uzak ilionyeshwa katika Tamasha la Filamu la Cannes la 2003, ambapo Toprak alitunukiwa tuzo ya Muigizaji Bora baada ya kifo chake. [3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Critic Reviews for Distant". Metacritic. Iliwekwa mnamo 3 Novemba 2020.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Gibbons, Fiachra (6 Mei 2004). "Death in Yenice". The Guardian. Iliwekwa mnamo 9 Februari 2020.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Critic Reviews for Distant". Metacritic. Iliwekwa mnamo 3 Novemba 2020.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)