Kutokuzingatia kanuni na taratibu za kuhariri makala
Makala haijakidhi vigezo vya kuwa kwenye Wikipedia
Makala hii inaonekana kwa asilimia kubwa ni zao la tafsiri ya Kompyuta bila maboresho stahiki ya ki umbo na sarufi hivyo kuifanya isieleweke.
Mwandishi ametumia vyanzo vingi kutoka Wikipedia ya Kiingereza kinyume taratibu za vyanzo vinavyohitajika kutumika katika uandishi wa makala za Wikipedia.
Vyanzo vingi vilivyotumika katika makala hii ni vya mitandao ya kijamii amabavyo kwa mujibu wa sera za Wikipedia kuhusu vyanzo, havikubaliki.
Makala hii imefutwa kwakuwa haijaandikwa ki ensaiklopedia.
Kigezo hiki kinaonekana kutokuwa na kazi yoyote, kifutwe.