Medali ya miuijza
Mandhari

Medali ya miujiza ni jina ambalo kuanzia mwaka 1834 Wakatoliki wameipatia medali iliyotengenezwa kufuatana na njozi ambayo Katerina Labouré alisema zilimpata huko Paris, Ufaransa, mwaka 1830, akiwa bado mnovisi. Sista huyo wa shirika la Mabinti wa Upendo wa Mt. Vinsenti wa Paulo alisimulia hasa njozi ya tarehe 27 Novemba mwaka huo iliyo asili ya medali hiyo.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Aladel, Jean Marie: The miraculous medal : its origin, history, circulation, results 1880
- Marta Ajmar and Catherine Sheffield, The Miraculous Medal. An Immaculate Conception or Not, The Medal 24 (1994), pp. 37–51.
- Alma Power-Waters, 2000, St. Catherine Labouré and the Miraculous Medal, Ignatius Press, ISBN 978-0-89870-765-6
- Saint Catherine Labouré of the Miraculous Medal, by Joseph I Dirvin, CM, TAN Books and Publishers, Inc, 1958/84. ISBN 0-89555-242-6
- Association of the Miraculous Medal
- Rene Laurentin, Catherine Laboure: Visionary of the Miraculous Medal, Pauline books and Media, Boston, 2006, ISBN 0-8198-1578-0.
| Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Medali ya miuijza kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |