Mbugani (maana)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mbuga ni jina la eneo ambako kuna mazingira ya uoto wa manyasi au eneo lililopo karibu na mbuga kwa maana ya hifadhi ya wanyama au mazingira asilia kama mbuga wa wanyama.

Kwa hiyo "Mbugani" pamoja na "Mbuga" inapatika kama jina la vijiji, vitongoji au kata kwa mfano


Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.