Mboni Mohamed Mhita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mboni Mohamed Mhita ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Handeni Vijijini kwa miaka 20152020. [1] Amekuwa mbunge wa Bunge la Afrika toka mwaka 2016. Alichaguliwa kuwa Rais wa Vijana wa Bunge la Afrika mwaka 2017.

Alipata kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mufindi. Mnamo Januari 2023, alichaguliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Kahama.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017