Mboga (mmea)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mboga-chungu)
Mboga
Mboga-refu (Cucurbita moschata)
Mboga-refu
(Cucurbita moschata)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Cucurbitales (Mimea kama mboga)
Familia: Cucurbitaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mboga)
Jenasi:

Miboga, pia milenge, ni mimea ya familia Cucurbitaceae kwenye jenasi Cucurbita, Momordica na Coccinia. Hukuzwa sana duniani kokote kwa ajili ya matunda yao makubwa yanayoitwa maboga.

Spishi zinazokuzwa katika Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]