Matoke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muuzaji wa Matoke nchini Uganda

Matoke, ( pia hujulikana kama matooke, amatooke huko Buganda (Uganda ya Kati), ekitookye kusini magharibi mwa Uganda, ekitooke magharibi mwa Uganda, kamatore huko Lugisu ( Mashariki mwa Uganda ), ebitooke kaskazini magharibi mwa Tanzania, igitoki nchini Rwanda, Burundi ) , ni aina za ndizi zenye virutubishoi vya wanga zinayotoka katika Maziwa Makuu ya Afrika . Matunda haya huvunwa wakati yakiwa ya kijani kibichi, huchumwa kwa uangalifu, na kisha kupikwa na mara nyingi kupondwa au kusagwa ndani ya chakula. Nchini Uganda na Rwanda, tunda hilo hupikwa kwa mvuke, na unga uliopondwa huchukuliwa kuwa mlo wa atika nchi zote mbili. [1]

Ndizi za Matoke ni zao kuu la chakula nchini Uganda, Tanzania [2] na nchi nyingine za Maziwa Makuu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tufariello, Maria; Mita, Giovanni; Bleve, Gianluca (2016-10-26), "Biotechnology can Improve a Traditional Product as Table Olives", Products from Olive Tree (InTech), ISBN 978-953-51-2724-6, doi:10.5772/64687 
  2. Tanzania Statistical Abstract (en-gb). www.nbs.go.tz. Iliwekwa mnamo 2017-03-28.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Matoke kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.