Massa Candida
Mandhari
Massa Candida (walifariki 253-260[1]) ni jina la kundi la Wakristo 300 hivi wa karne ya 3 waliofia dini yao huko Utica kwa kuwa walikataa kutoa sadaka ya ubani kwa miungu ya Roma kama walivyoagizwa na gavana Galerius Maximus, mwakilishi wa serikali ya Dola la Roma.
Wakiwa waaminifu kwa askofu wao Kwadrato, walikabili kifodini kwa kumkiri pamoja Yesu Kristo, Mwana wa Mungu[2].
Jina linatokana na jinsi walivyouawa kwa kutupwa katika shimo la chokaa hai na hivyo kugeuka rundu la vumbi jeupe [3].
Sifa yao imedumishwa na maandishi ya Agostino wa Hippo na Prudentius.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑
. Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913. - ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/92896
- ↑ Among other torments, the governor ordering a limekiln to be lighted and live coals with incense to be set near by, said to these confessors of the Faith: "Choose whether you will offer incense to Jupiter or be thrown down into lime." And they, armed with faith, confessing Christ, the Son of God, with one swift impulse hurled themselves into the fire, where in the fumes of the burning lime, they were reduced to a powder. Hence this band of blessed ones in white raiment have been held worthy of the name, White Mass.
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |