Martiniano wa Kaisarea
Mandhari

Martiniano wa Kaisarea (alifariki Athens, Ugiriki, 422 hivi) alikuwa Mkristo wa Palestina ambaye aliwahi kuishi kama mkaapweke karibu na Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli.
Baadaye alikwenda kuishi katika kisiwa kidogo na hatimaye akaanza kuhamahama [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadimishwa tarehe 13 Februari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |