Nenda kwa yaliyomo

Martin Heidegger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kila mtu ni mwingine, hakuna aliye mwenyewe.

Martin Heidegger (26 Septemba 188926 Mei 1976) alikuwa mwanafalsafa wa Ujerumani. Kitabu chake Being and Time (1927) kinahesabiwa na wengi kati ya vile muhimu zaidi katika falsafa ya karne ya 20, lakini uhusiano wa Heidegger na siasa ya Wanazi umesababisha majadiliano mengi.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Martin Heidegger kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.