Marino Grimani (kardinali)
Mandhari

Marino Grimani (1489 hivi – 1546) alikuwa Kardinali wa Italia na balozi wa Papa. Alitoka katika familia ya kitemi ya Venezia.
Aliteuliwa kuwa Askofu wa Ceneda mwaka 1508, ingawa alikuwa bado chini ya umri wa kisheria kwa nafasi hiyo. Mwaka 1517, alikuwa Patriarki wa Aquileia.
Mwaka 1527, aliteuliwa kuwa kardinali, na baadaye alihudumu kama:
- Askofu wa Concordia (1533)
- Askofu wa Città di Castello (1534)
- Askofu wa Saint-Pons-de-Thomières kwa muda mfupi mwaka 1534
- Askofu wa Frascati (1541)
- Askofu wa Porto na Santa Rufina (1543)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Biography Ilihifadhiwa 22 Novemba 2017 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |