Mariano Echeverría
Mandhari
Mariano Raúl Echeverría (aliyezaliwa tarehe 27 Mei 1981) ni mchezaji wa zamani wa soka kutoka Argentina. Hivi sasa ni kocha mkuu wa klabu ya Johor Darul Ta'zim II inayoshiriki katika Ligi ya Nusu-Professional ya A1 nchini Malaysia.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Eche puso primera, ole.com.ar, 5 October 2018
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mariano Echeverría kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |