Margaret Ng
Mandhari
Margaret Ng Ngoi-yee ((Kichina); alizaliwa tarehe 25 Januari 1948) ni mwanasiasa, wakili, mwandishi na mwandishi wa safu za magazeti kutoka Hong Kong. Alikuwa mwanachama wa Baraza la Kutunga Sheria la Hong Kong kuanzia mwaka 1995 hadi 2012.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Margaret Ng kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |