Manda (kisiwa)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Manda

Manda ni kisiwa cha funguvisiwa la Lamu, kaunti ya Lamu, nchini Kenya.

Kinapatikana katika Bahari ya Hindi.

Safari yake ni nusu saa kwa jahazi tanga kutoka Lamu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]