Makari wa Gent
Mandhari

Makari wa Gent (Armenia ya Kale, karne ya 10 - Gent, leo nchini Ubelgiji, 10 Aprili 1012) alikuwa Mkristo wa Armenia ya Kale ambaye alidhulumiwa kwa ajili ya imani yake akahamia Ulaya.
Inasemekana alikuwa askofu[1][2].
Aliishi katika monasteri ya Gent mwaka mmoja hadi akafa kwa tauni[3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.documentacatholicaomnia.eu/20vs/105_migne_enc_th/1815-1875,_Migne,_Encyclopedie_Theologique_Vol_41_Dictionnaire_Hagiographique,_FR.pdf%7Cautore=Pétin,L.-M.(abate)
- ↑ https://archive.org/stream/lespetitsbollan00girygoog#page/n327/mode/2up
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/49180
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |