Makari I wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makari I wa Aleksandria (alifariki 953) kuanzia mwaka 933 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 59 wa Kanisa la Kikopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Aprili.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.