Majadiliano:Ushetu
Haya ni Majadiliano kwa ajili ya kuboresha makala ya Ushetu. | |||
---|---|---|---|
|
|
![]() | Hii ni makala ya Ushetu ipo katika eneo la Wikipedia:Mradi wa Tanzania, juhudi za pamoja katika kuboresha maeneo ya Tanzania kwenye Wikipedia. Iwapo utapenda kushiriki, tafadhali tembelea ukurasa wa mradi, ambapo unaweza kujiunga na majadiliano na utazame orodha ya kazi zilizo wazi. |
kata ya ushetu[hariri chanzo]
hii ni kata iliopo katika halmashauri ya wilaya ya kahama mkoani shinyanga.kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 kata hii ilikuwa na watu 17538.jamii zinazoishi katika kata hii ni wasukuma na wanyamwezi.