Majadiliano:Ualimu wa kanisa
Weka madaMandhari
(Elekezwa kutoka Majadiliano:Ualimu)
Latest comment: miaka 17 iliyopita by Kipala in topic Jina la makala
Jina la makala
[hariri chanzo]Naomba jina la makala iangaliwe upya. Makala inahusu ualimu kama utaratibu katika kanisa la kikristo hasa kanisa katoliki. Neno "ualimu" lenyewe linamaanisha zaidi kazi ya mwalimu wa shule yeyote kama huyu ni Mkristo au Mwislamu au hana dini. --Kipala (majadiliano) 19:03, 27 Machi 2008 (UTC)