Majadiliano:Tafsida
Weka madaMandhari
Neno tafsida lina kisawe tauria. Tafsida ni mojawapo wa tamathali za semi katika lugha ya Kiswahili. Ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali, matusi au fedheha na lugha tovu kiadabu. Tafsida hutumika hususan katika mazungumzo na uandishi was kifasihi kama vile kwenye riwaya, hadithi fupi,tamthilia na ushairi.
Mfano: Badala ya kusema " Mama yule ana mimba." Sema " Mama yule ni mjamzito."
Start a discussion about Tafsida
Talk pages are where people discuss how to make content on Wikipedia the best that it can be. You can use this page to start a discussion with others about how to improve Tafsida.