Majadiliano:Papa Martin I

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tarehe ya kifo[hariri chanzo]

Nimeandika tarehe ya kufariki kwake Papa Martin I kuwa 16 Septemba kufuatana na Kamusi Elezo ya Kikatoliki badala ya 1 Septemba inavyoandikwa katika wikipedia ya Kiingereza. --Oliver Stegen 15:05, 20 Julai 2007 (UTC)[jibu]

Naona sawa; wiki za de, it na la zakubaliana vile. Heri kuuliza wenyewe. --Kipala 01:52, 21 Julai 2007 (UTC)[jibu]