Majadiliano:Jumuiya ya Nchi Huru

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mtumiaji asiyejiandikisha kwa jina alifuta jina la kiingereza. Nimelirudisha na kukinga ukurasa maana wasomaji wengine wanajua majina kwa lugha ya Kiingereza tu kwa hiyo tunayaongeza mara kwa mara kwa kuwasaidia wasomaji hao. Kipala (majadiliano) 10:10, 2 Aprili 2016 (UTC)[jibu]