Majadiliano:Azania Bancorp
taasisi za fedha kufanyabiashara na wakulima wadogowadogo[hariri chanzo]
taasisi za fedha zimeacha wateja wengi kufanya nao biashara, wateja
hao ni wakulima na wafugaji wadogowadogo kama watanzania tunakubali asilimia 80 ya watanzania wanaishi vijijini je? taasisi za fedha niwateja wangapi zimewaacha bila kuwapa huduma za kibenki,mimi nimefanya utafiti na kuona jinsi taasisi za fedha zinavyoweza kufanya
biashara na wateja hao na kupata faida,taasisi za fedha zikitaka tuwasiliane.
by waziri ali mzee phone;0718245868 email;mzeewaziri@gmail.com