Magnus wa Milano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Magnus alivyochorwa.

Magnus wa Milano (alifariki Milano, Italia, 530 hivi) alikuwa Askofu wa mji huo chini ya Walongobardi kuanzia mwaka 518 hivi[1].

Alisifiwa hasa kwa ukarimu wake kwa maskini.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.